Simba, Tp mazembe waingia mezani rasmi kumnasa mazima Baleke - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba, Tp mazembe waingia mezani rasmi kumnasa mazima Baleke

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Klabu ya Simba iko kwenye mazungumzo na TP Mazembe ili kumsajili mshambuliaji Jean Baleke moja kwa moja, imefahamika


Baleke alitua Simba kwa mkopo wa mwaka mmoja uliokuwa na kipengele cha kumsajili moja kwa moja kama Simba itaridhishwa na uwezo wake


Baleke ameitumikia Simba kwa miezi sita tu na muda huo umetosha kwa mabosi wa Simba kuchukua hatua ya kutaka kumsajili moja kwa moja


Habari njema ni kuwa Baleke mwenyewe amefurahia maisha ya Tanzania na hafikirii kurejea TP Mazembe hata pale muda wake wa mkopo utakapomalizika


Mkakati wa Simba msimu ujao ni kufanya vizuri katika mashindano yote watakayoshiriki, hilo litafanikiwa kama itakuwa na wachezaji bora kama Baleke



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz