Hispania wabeba Ubingwa UEFA Nations League 2023 - EDUSPORTSTZ

Latest

Hispania wabeba Ubingwa UEFA Nations League 2023

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Hispani wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa UEFA Nations League kwa ushindi wa penalti 5-4 dhidi ya Croatia baada ya sare ya bila kufungana, 0-0 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord Jijini Rotterdam nchini Uholanzi.


Hispani wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa UEFA Nations League kwa ushindi wa penalti 5-4 dhidi ya Croatia baada ya sare ya bila kufungana, 0-0 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord Jijini Rotterdam nchini Uholanzi. Waliofunga penalti za Hispania ni Joselu, Rodri, Mikel Merino, Marco Asensio na Dani Carvajal, huku Aymeric Laporte akikosa wakati za Croatia zilifungwa na Nikola Vlašić, Marcelo Brozović, Luka Modrić na Ivan Perišić huku Lovro Majer na Bruno Petković wakikosa.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz