USM ALGER watua tanzania

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Wapinzani wa Yanga katika mchezo wa fainali kombe la Shirikisho barani Afrika USM Alger wamewasili nchini Alfajiri ya leo wakitokea kwao Algeria tayari kwa mchezo huo utakaopigwa Jumapili May 28 katika uwanja wa Benjamin Mkapa


Awali ilitarajiwa kuwa timu hiyo ingewasili nchini siku ya jana Alhamisi, saa 3 usiku


Hata hivyo walichelewa baada ya kupata changamoto ya usafiri iliyowalazimu kutua uwanja wa ndege Entebe Uganda kabla ya kuja Tanzania ikielezwa ndege yao iliishiwa mafuta


Msafara wa timu hiyo ulipokewa na Balozi wa Algeria nchini Tanzania

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post