Wakala: Hakuna ofa yoyote tuliyopokea kumuhusu Mayele - EDUSPORTSTZ

Latest

Wakala: Hakuna ofa yoyote tuliyopokea kumuhusu Mayele

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Wakala wa mahambuliaji kinara wa mabao Ligi Kuu Soka Tanzania bara, Fiston Mayele amekanusha uvumi wote kwamba amepokea ofa kutoka katika vilabu mbalimbali kwa mchezaji wake.


Wakala wa mahambuliaji kinara wa mabao Ligi Kuu Soka Tanzania bara, Fiston Mayele amekanusha uvumi wote kwamba amepokea ofa kutoka katika vilabu mbalimbali kwa mchezaji wake. Kwa siku kadhaa kumeibuka taarifa zinazodai Klabu ya Al Hilal ya Sudan inayonolewa na Mkongo Florent Ibenge wanamuhitaji mchezaji huyo.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz