Singida Big Stars yatinga nusu Fainali FA - EDUSPORTSTZ

Latest

Singida Big Stars yatinga nusu Fainali FA

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 
Singida Big Stars imekuwa timu ya kwanza kutinga nusu fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) ikiibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Mbeya City katika mchezo uliopigwa uwanja wa Liti, Singida


Wakicheza katika uwanja wao wa nyumbani, Singida BS walikuwa bora, ushindi huo haukuwa na shaka


Mabao ya Singida BS yalifungwa na Bruno Gomes aliyepachika mabao mawili, Francy Kazadi na Bright Adjei wakati bao la kufutia machozi kwa Mbeya City



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz