Ratiba ya nusu Fainali kombe la FA ( ASFC ) - EDUSPORTSTZ

Latest

Ratiba ya nusu Fainali kombe la FA ( ASFC )

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeweka hadharani ratiba ya mechi za nusu fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC)


Mchezo wa kwanza wa nusu fainali kati ya Azam Fc dhidi ya Simba utapigwa May 06 uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara na mchezo wa pili kati ya Singida BS dhidi ya Yanga utapigwa May 07 uwanja wa LITI, Singida





Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz