Matchday Live: Ihefu Fc vs Simba leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Matchday Live: Ihefu Fc vs Simba leo

Kupata Kifurushi cha bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Kikosi cha Simba kiko mkoani Mbeya ambapo jioni ya leo kitakuwa uwanjani huko Mbarali kumenyana na Ihefu Fc katika mchezo wa ligi kuu ya NBC


Simba itaingia katika mchezo huo ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Ihefu katika mchezo wa robo fainali kombe la FA uliopigwa uwanja wa Azam Complex, April 07 Simba ikitinga nusu fainali


Hata hivyo mchezo wa leo unatarajiwa kuwa tofauti ambapo Kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira amesema kikosi chake kitahitaji kudhihrisha ubora kwa mara nyingine kwa kushinda mchezo huo


Simba inahitaji kushinda mchezo huu ili kuendelea kuweka hai matumaini katika mbio za ubingwa msimu huu


Simba inashika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi ikiwa nyuma kwa alama nane dhidi ya Yanga


Katika mechi sita zilizosalia kuhitimisha msimu, mkakati wa Simba na kuvuna alama tatu katika kila mchezo


Mechi Itakuwa LIVE kwenye App yetu bofya hapa kuidownload sasa ili uweze kuitazama mechi hii LIVE kupitia simu Yako



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz