Kauli hii ya Ahmed Ally dhidi ya Yanga Yamponza aambiwa Aombe radhi - EDUSPORTSTZ

Latest

Kauli hii ya Ahmed Ally dhidi ya Yanga Yamponza aambiwa Aombe radhi

Ofa ya Bando la Internet wiki BURE Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Baadhi ya Wanahabari na Wachambuzi wa Soka nchini wamemtaka Afisa Habari wa klabu ya Simba, Ahmed Ally kuomba radhi kufuatia kauli yake aliyoitoa dhidi ya Yanga kuelekea mchezo wa Dabi Jumapili hii.


Katika mazungumzo na Wanahabari Ahmed alisema;


"Yanga ni kama maiti hivyo wanakwenda kuwakamua" kauli hiyo imevuka mipaka ya utani wa jadi na ni kinyume na ueledi na ni tusi baya.


Miongoni mwa wachambuzi waliotoa maoni yao ni mchambuzi wa kituo cha Efm na TV E, Geoff Lea ambae ameonekana kutofurahishwa na kauli hiyo.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz