Hizi hapa Timu 8 zilizofuzu robo fainali ligi ya mabingwa - EDUSPORTSTZ

Latest

Hizi hapa Timu 8 zilizofuzu robo fainali ligi ya mabingwa

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 

Mechi za hatua ya makundi ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika zimekamilika usiku wa kuamkia leo ambapo timu zote zilizofuzu katika hatua hiyo zimefahamika


Al Ahly imekamilisha hesabu ya timu nane zilizotinga robo fainali baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Al Hilal


Kutoka kundi A, Wydad Casablanca na JS Kabylie zimetinga robo fainali huku Wydad wakiwa vinara wa kundi


Kundi B ni Mamelodi Sundowns na Al Ahly, Mamelodi wakiwa vinara wa kundi


Kundi C ni Raja Casablanca na Simba wakati kundi D ni Esperance na CR Belouizdad vinara wa kundi wakiwa ni Esperance


Droo ya robo fainali itafanyika Jumatano, April 05 huko Cairo Misri


Simba itachuana na Mamelodi Sundowns, Wydad au Esperance



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz