Mandonga Mtu kazi ashinda mkanda wa Ubingwa wa PST ashinda - EDUSPORTSTZ

Latest

Mandonga Mtu kazi ashinda mkanda wa Ubingwa wa PST ashinda

 

Kuingiza pesa Mtandaoni bure Bonyeza HAPA

Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA

Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Karim Mandonga amefanikiwa kushinda mkanda wa Ubingwa wa PST kufuatia mkuchapa kwa pointi Kenneth Lukyamuzi kutoka Uganda.

Katika pambano hilo ambalo limepigwa kwa raundi nane kwenye uzani wa Super Middle, Mandonga amefanikiwa kumchapa mpinzani wake huyo ambaye hata hivyo hakuwa tayari kukubali matokeo hao kwa kusisitiza kutaka pambano la marudiano.




Mbali ya Mandonga kushinda pambano hilo ambalo limepigwa hapa kwenye Uwanja wa Kasarani jijni Nairobi, mabondia wengine wa Tanzania waliofanikiwa kushinda ni Fatma Yazidu ambaye amemchapa kwa pointi Consalata Musanga lakini Hassan Ndonga naye ametandika kwa pointi Nick Otieno wa Kenya.
Zawadi Kutaka yeye amepoteza kwa pointi mbele ya Plaxedus Odouri huku George Bonabucha akipoteza mbele ya Albert Kimario wa Kenya.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz