Lemutuz "Ujumbe Kwa Vijana Hivi vyeo Huwa Vinaisha Jifunzeni Kupunguza Mabega, Pichani Alikuwa Mshauri wa Rais ila Sasa Omba Omba" - EDUSPORTSTZ

Latest

Lemutuz "Ujumbe Kwa Vijana Hivi vyeo Huwa Vinaisha Jifunzeni Kupunguza Mabega, Pichani Alikuwa Mshauri wa Rais ila Sasa Omba Omba"


LE SUPERBRAND! .....Wakongo wanasema "TOMBOLA MALEMBE MALEMBE MOKILI YA NZAMBE" ....Tembea Pole Pole Dunia ya Mungu .....Huyo Mkuu kwenye Picha kulia alikuwa MSHAURI NAMBA MOJA WA "JENERALE MOBUTU SESESEKO KUKU NGENDU MOBIMBA WA ZABANGA" .....Alikuwa KIONGOZI MWENYE NGUVU NA ALIHOFIWA NA ZAIRE NZIMA infact WANANCHI WALIMUOGOPA YEYE ZAIDI KULIKO JENERALE MOBUTU MWENYEWE ......alliposhikwa na Malaria au Homa alikimbia haraka PARIS KUTIBIWA .....leo Mkuu ndiye Omba Omba namba moja Mitaa ya Kinshasa/Zaire .......UJUMBE KWA VIJANA WADOGO HIVI VYEO KUWENI MAKINI NAVYO.HUWA VINAISHA LAKINI MAISHA NA DUNIA HAYAISHI .....na MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI ......Mungu hajawahi kuwa Mjinga yaani makosa ufanye hapa Duniani Malipo eti UKALIPIE MBINGUNI? NEVER! ....VIJANA WADOGO PUNGUZENI UKUBWA WA MABEGA mpaka leo bado tuna VIJANA KIBAO MA ARROGANT ambao wanadhani wao ndio wa kwanza kushika Vyeo MIMI HUWA NAWACHORA SANA .....KIJANA MDOGO CHEO KIDOGO TU ANA PEMBE LAKINI BOSI WAKE UNAKUTA WALA HANA MATATIZO ......Vijana Shusheni Mabega ....KWANI HIVYO VYEO HUWA VINA UCHAWI GANI MPAKA MNABADILIKA halafu Cheo kikiisha mnaanza lawama kuwa Watu wanawakimbia ....kumbe tatizo ni nyinyi wenyewe mlipokuwa kwenye Vyeo WATU WALIWAHITAJI MANUFAA YA VYEO VYENU WAKAVUMILIA UPUMBAVU PUMBAVU WENU .....leo CHEO KIMEISHA NI KURUDI KWENYE UHALISIA TU .....mnaanza kulia lia IN LIFE TUNAVUNA TULICHOPANDA TU HUWEZI KUPANDA MAHINDI UKAVUNA MIHOGO!... SASA MUDA UNAPOFIKA WA KUVUNA MLICHOPANDA YAANI UPUMBAVU WENU MSILIE LIE NA KULAUMU WASIOHUSIKA!... au I keep my AMERICAN SPIRIT! BADILIKENI! - @lemutuz_superbrand



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz