Ebana eeh malalamiko yenu kuwa @soniamonalisa ana sura mbaya na sauti kama Subaru ameyapokea na hakuna jinsi itabidi muvumilie tu lakini yeye anajiona bonge la pisi na si kuwa anawaomba ushauri ila ndio hiko hivyo😂.
Sema sauti kama Subaru😂
elru87tYGBGEm
No comments:
Post a Comment