Waja wanadai kauli hii ya @auntyezekiel ni kumshushia heshima mumewe @_kusah_ lakini inaonekana kwa Aunty Ezekiel ni namna alivyoamua kumuwishi mpiga picha @petefarasi9 katika siku yake ya kuzaliwa. Aunty ameandika๐
“NAKUPENDA TUU WW KAKA❤
JAPO MUME WA MTU LAKINI MM APA NAKUPENDA HVYOHVYO......๐๐๐
Mwambie Jaman ๐ฅ๐ฅ๐ฅ”
Au Aunty kuna udambwi udambwi kapewa na Shishi Baby kuhusu wapiga picha?๐คช
Tupia maoni yako hapo kuhusiana na meseji ya Aunty kwa Pete kabla ya mfunga kamba za viatu hajaja๐
No comments:
Post a Comment