Lukamba Afunguka "Mke wangu na Jux Walitokea Upande wa Chooni" - EDUSPORTSTZ

Latest

Lukamba Afunguka "Mke wangu na Jux Walitokea Upande wa Chooni"



Tulienda kwa Juma_jux baada ya party ya Elements, kwasababu boss wangu alikuwepo pale ikabidi niende… ivyo kuna tukio lilitokea baada ya Iamceccy kwenda Toilet, wakati anatoka toilet Juma_jux nae akawa anatokea Studio kwake ambayo ipo upande huo huo hivyo ikawa inaonekana kama kweli wametoka upande Mmoja wa Chooni " - Ameyasema hayo Lukambaofficial akilalamika Jux kutembea na Mkewe




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz