“Ni kweli kama tungemdhibiti akiwa hai angetusaidia kujua mambo mengi lakini tayari alikua na silaha kubwa mbili, alikuwa mbioni kukimbia eneo la tukio, pangetokea madhara makubwa zaidi kama angeendelea kuachwa, hivyo ilitumika busara kufanya kile kilichotokea”
"Ni kweli tukio la jana lilizua taharuki, kama mlifuatilia nilitoa tamko la kusema tukio lile limeshadhibitiwa na Wananchi waendelee na shughuli zao kama kawaida hali ni salama na vyombo vya ulinzi na usalama wapo katika uchunguzi wa kina na taarifa itatolewa ya tukio"——— asema Mkuu ws Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla via Clouds360
Post a Comment