Gwajima Atoa Mpya "Viongozi Wanachanjwa Chanjo Feki Kulaghai Wananchi" - EDUSPORTSTZ

Latest

Gwajima Atoa Mpya "Viongozi Wanachanjwa Chanjo Feki Kulaghai Wananchi"


Askofu Gwajima amewatahadharisha Wananchi kutokuingia kichwa kichwa kuchanja chanjo ya Corona akidai kuna Viongozi wanachanjwa Chanjo Feki ili kuwalaghai Wananchi.

Amesema Taifa limerudi nyuma sana baada ya Magufuli kufariki Dunia, limerudi nyuma kwa sababu ya Pressure ya Mataifa makubwa Duniani.

Gwajima amesema Wazungu huwa hawatoi kitu bure, jiulizeni ni kwa nini wakupe pesa, wakupe na Chanjo bure? Yawezekana Chanjo yao sio ya Corona bali ina Kazi Maalum mwilini ndio maana hata ukichanja utapata Covid.






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz