Cristiano Ronaldo Ametwaa Kiatu cha Dhahabu cha Mashindano ya Euro 2020 - EDUSPORTSTZ

Latest

Cristiano Ronaldo Ametwaa Kiatu cha Dhahabu cha Mashindano ya Euro 2020


Cristiano Ronaldo ametwaa kiatu cha dhahabu cha mashindano ya Euro 2020 baada ya kuibuka mfungaji bora wa mashindano.

✍️ Takwimu za Ronaldo:

🏟️ Mechi: 4
⚽ Magoli: 5
🅰️ Assists: 1

✍️ Cristiano Ronaldo anachukua kiatu mbele ya Patrick Schick wa Czech Republic baada ya kuhusika na magoli mengi zaidi ambapo ana Assist moja huku Patrick Schick akiwa na magoli matano na hana Assists hata moja na amecheza mechi 5.

✍️ Cristiano Ronaldo anaweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya mpira wa miguu, kuwa mfungaji bora kwenye Champions league, Premier league, La Liga, Serie A na Euro.

#EURO2020
#kitengeSports




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz