MKE vs MKE-KA - EDUSPORTSTZ

Latest

MKE vs MKE-KA


-Mke anatunzwa mkeka unakunjwa.
-Mke hukumbukwa wakati wote ila mkeka hukumbukwa wakati wa kukaliwa tu.
-Kuna utaratibu wa kufuata ili kupata mke lakini mkeka ukiwa na hela tu unaununua.
-Mke ni kwa matumizi ya mtu mmoja ila mkeka yeyote anaweza utumia hata kuku wanaweza unyea.
Sijui wewe unajiandaa kuwa mke au ushakuwa mkeka.
#FIKICHA AKILI#




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz