💖KUFIKA KILELENI KWA NJIA YA HII💖 - EDUSPORTSTZ

Latest

💖KUFIKA KILELENI KWA NJIA YA HII💖

_Kumfikisha kileleni mwanamke kwa njia ya kinembe, ni pale ambapo hisia za raha ambazo ni zaidi ya kawaida,zinaanzia kwenye kinembe._
💧
_Zinatengeneza mawimbi ya utamu na kuyasambaza mwili mzima hadi kwenye ubongo.Kwenye uke wa mwanamke kuna sehemu kama 4 ambazo zimejaa nerves zinazosababisha mwanamke apate raha tena sana wakati wa kupeana raha na utamu,na mojawapo kati ya sehemu hizo 4 ni kinembe._
💧
_Ingawa ni kweli kinembe ndio kimejaa raha na utamu,lakini wanawake wanatofautiana, linapokuja suala zima la kumsisimua mwanamke kupitia kinembe chake.Wengine inabidi utumie nguvu kidogo,wengine kawaida na wengine taratibu kutegemeana na Unsensitive wa vinembe vyao._
💧
*Ziko njia mbili za kumfikisha mwanamke kileleni kwa kutumia kinembe:-*
*A: KUTUMIA KIDOLE.*
_Mume hakikisha vidole vyako ni visafi na kucha zako ni fupi sana._
_Kabla hujaanza kumsisimua kinembe chake,hakikusha ushatumia zaidi ya dk 10 kumsisimua maeneo mengine ya mwili wake kama vile matiti,lips,mapaja,makalio n.k ( Inatakiwa uke wake uwe umeloa kabla hata hujaanza kusisimua kinembe chake._
💧
_Tumia majimaji ya uke kukiroanisha kidole chako kwani ukimchezea wakati uke wake ni mkavu utaishia kumuumiza badala ya kumpa raha._
_Anza kusugua kinembe chake taratibu huku ukiangalia kwa makini jinsi anavyopokea sehemu zote kusini kaskazini mashariki magharib kwa upole na taratibu kabisa._
💧
_Baada ya dk kadhaa ongeza speed kidogo kisha angalia jinsi anavyolipokea zoezi hilo._
💧
_Usiongeze na kupunguza speed mara kwa mara unaweza ukampotezea muelekeo ( Ataishia kusikia raha na utamu lakini hatafika kileleni )_
💧
_Sugua kinembe kwa mpangilio unaoeleweka kwa zaidi ya dk 5 bila kubadilisha ili asipoteze muelekeo katikati ya safari yake ya kufika kileleni ( kama ulikuwa unasugua kwa kutengeneza duara ) basi fanya hivyo mpaka dakika 5 ziishe,kama ulikuwa unasugua kutoka juu ya kinembe kwenda chini au chini kwenda juu,basi fanya hivyo mpaka dakika 5 ziishe ndio ubadilishe._
💧
_Uvumilivu ndio siri ya mafanikio,kwa sababu mpaka afike kileleni ni baada ya dakika 10 au 15 20 kutegemeana na kinembe chake kipo sensitive kiasi gani au yeye mwenyewe ana hamu kiasi gani._
*💋NJIA NYENGINE UNAWEZA KUTUMIA KITALELO IKIWA HII IMECHUKUA MUDA KWA MKE KUFIKA KILELENI💋*
*_💞NAAM TUNAENDELEA ðŸ’ž_*
*B: KITALELO*
_Hili neno si geni kwa wanandoa na wengi wetu tunalitumia kwa vitendo ingawa hatujuwi maana yake,wengi huwa wanaipa kila majina ndio hutofautiana au hawaipi jina zaidi kwa mfano_
_"Kusugua kinembe"_ _"Kupigapiga kinembe_
_Kushika shika "kinembe._
_Kuchezea chezea "Kinembe"_
💧
_Na ushughulikiaji huu wa kinembe huweza kusababishwa ile hali ya kumfanya mwanamke amwage lita tatu za maji ikiwa "katelelo" itashughulikiwa barabara hata hivyo hutegemea na maumbile ya mwanamke na uhodari wa mume._
💧
_Wapo wanawake wanamwaga maji na wengine wanatoa ute mwingi lakini maji hayo sio kiasi cha kuleowesha godoro ukiona maji hayo yamezidi kiasi ya kuwa yanakukosesha Raha hiyo si hali ya kawaida unahitaji Tiba M'badala._
💧
_Kitendo cha mume kuchezea kinembe kwa utaalamu na mirindimo tofauti mpaka mwanamke anamaliza ndio kinaitwa "katelelo", kitendo hiki hakina tofauti sana na "kumshukia" mwanamke yaani kucheza na kinembe kwa kutumia dhakari au mkono japokuwa uchezewa kwa dhakari ni utamu zaidi kwa vile ni laini kutokana na maumbile yake ya kichwa cha dhakari na ni asili yake na ndio nyumbani kwake._
💧
_Ule umaji maji kila baada ya "vibrashi" vichache, bila kusahau kuna speed" amabayo huongezwa na kupunguzwa._
💧
_Kitendo hiki hufanywa kwa kufuata mikao fulani kama ilivyo kwenye "kumshukia Chumvini" na mikao hiyo ni kama vile "Doggy" Inaweza kuwa ya kupiga magoti au ya kuinama, kifo cha mende,kukaa kochini au kitini na kupanua miguu kama hakionekani basi mwana mama itamlazimu kutumia mikono yake ili kupanua maeneo yake nyeti ili uweze kufanyia kazi "kinembe"._
💧
_Pia Kuna namna ya ukamataji wa *hogo* ili kufikia lengo, kuna wale wanaoushikilia karibu zaidi na kichwa hali inayoongeza ukubwa wa "kichwa" na ugumu hali inayo ongeza raha halafu ndio wanasugua (hii kama inauma vile eeh), wacha niseme ku-brashi Kinembe._
💧
_Pia kuna wanaume wengine hushikilia *hogo* kama vile wanavyofanya haja ndogo (sio manii bali mkojo wa kawaida ) au wanavyouingiza ukeni lakini sasa wanaishia kinembe tu na kufanya ile-brashi._
💧
_Sasa wakati unaendelea na ku-brashi unatakiwa kuongeza manjonjo na "spidi" ili kumpa mpenzi wako utamu makini._
💧
_Unaweza kuwa unachovyesha kichwa pale ukeni (unapoingia uume) pale mwanzo wa uke kuna utamu wake ambao ni tofauti au niseme ni zaidi ya ule wa kinembe japokuwa huwezi kufikia Kileleni._
_Wakati "unamkatalelo" Kisaikolojia atakuwa anasikilizia Utamu wa ajabu bila kujua tofauti, yeye atakuwa akijua unacheza na sehemu ya juu ya uke wake ambayo ni Kinembe._
💧
_Wanawake wengi wa wanapenda sana mtindo huu kwa vile ni rahisi kufika kileleni kuliko aina nyingine ya ufanyaji hasa ukizingatia kuwa asalimia kubwa ya wanawake hawana uwezo wa kusikilizia/kupata utamu wakati wa jimai mara nyingi hisia zao nyengine huwa ni (mwanzo wa uke, Kipele G, Spot Kuta za uke na eneo linaolitwa AFE)._
💧
_Kinembe ni eneo pekee linaloweza kumfanya mwanamke kupata uzoefu wa raha ya jimai haraka kuliko sehemu nyingine za uke wake hata kama kajaaliwa kusikilizia utamu ikiwa maeneo mengine manne yakifanyiwa kazi vema._
*_💞NAAM TUNAENDELEA💞_*
_💕Kufika kileleni kabla ya Jimai💕_
_Ewe mume mfanye mkeo akojoe kabla hujamuingilia._
💧
_Hili jambo inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo, lakini ukweli ndio uko hivyo si jambo geni kwa wenye ujuzi nalo._
💧
_Hili ni jambo ambalo wanawake wengi wangelipenda kufanyiwa na wapenzi wao,lakini ambalo wanaume huwa hawalifanyi.Wengi huwaandaa wanawake kwa lengo la kuhakikisha kuwa wametepeta kwenye uke, kwa maana ya kuwa wamelainika ili kuwezesha wao kupenya kwa urahisi lakini wanawake wengi wangependa zaidi ya hapo._
💧
_Ikiwa mwanaume utaweza kumfanya mwanamke akojoe kabla ya kumuingilia, unajiongezea nafasi ya kumfanya afurahie lile tendo la kujamiiana zaidi na kukuweka miongoni mwa wanaume walio bora kabisa wa maisha yake. Hii humfanya awe tayari yuko kwenye hali ya kuhitaji tu kuingia kwa uume wako aweze kupiga bao la pili, na hii inamaanisha kuwa inaweza kuwasaidia sana wale ambao huwa wanakabiliwa na tatizo la kukojoa haraka sana._
_Hata ukiparwa /kutafunwa .Katalelo sawa tu...mruhusu mradi raha ya jimai mwanamke nae afike safari yake._
*_💞Ndoa raha na utamu wake💞_*
TUISHIENI HAPO ..INSHAA ALLAH..
BORA YA KIDOGO CHENYE KUFAHAMIKA




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz