USAJILI WA CHRISTIANO RONALDO NEEMA KWA CHELSEA - EDUSPORTSTZ

Latest

USAJILI WA CHRISTIANO RONALDO NEEMA KWA CHELSEA

Usajili wa  Cristiano Ronaldo kutoka Real Madrid kwenda Juventus unaonekana kuwa neema kwa club ya chelsea kutokana na tetesi za usajili wa Gonzalo Higuai
USAJIRI WA CHRISTIANO RONALDO

Usajili wa  Christiano Ronaldo kutoka Real Madrid kwenda Juventus unaonekana kuwa neema kwa club ya chelsea kutokana na tetesi za nyota Gonzalo Higuain wa juventus kuonesha nia ya kusaini chelsea.

Usajili wa christian ronaldo ambaye ni nahodha wa Ureno aliyejiunga na Juventus kutoka Real Madrid kwa ada karibu £ 105 milioni wiki iliyopita.

Juventus sasa inaendelea na jitihada za kutafuta fedha baada ya kutoa dau kubwa kwenye usajili wa nyota wa zamani wa Manchester United.

Higuain ameidhibitishoia Sky Sports ripoti kuwa kuna mawasiliano kati ya makundi mawili.

Higuian anamjua meneja mpya wa Chelsea, Maurizio Sarri kwani wamecheza msimu mmoja  huko Napoli miaka miwili iliyopita.

Akizungumzia jinsi Chelsea ingeweza kufaidika kutokana na safari ya Ronaldo, mtayarishaji wa Michezo, Keith Downie, alisema,   

"natarajia kuondoka Juve msimu huu.hivyo inaonekana anao mpango wa kujiunga na chelsea.

"Higuain alicheza kwa msimu mmoja wa mafanikio chini ya Maurizio Sarri

Higuain alimaliza kama mfungaji bora wa Serie msimu huu.

Mshambuliaji huyo wa Argentina alifunga mabao 23 katika michezo 50 kwa Juventus katika mashindano yote msimu uliopita.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz