![]() |
| Mamlaka ya mawasiliano nchini Tanzania |
Mamlaka ya Mawasiliano(TCRA) imekataza nyimbo hizo kuendelea kurushwa kwenye vyombo vya habari mara moja, kituo kitakachokiuka amri hii kuchukuliwa hatua za kisheria.
Nyimbo hizo zina maadili ambayo ni kinyume na maadili na kanuni za huduma za utangazaji (Maudhui) 2005.
![]() |
| Orodha ya nyimbo zilizofungiwa |


This comment has been removed by the author.
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
ReplyDeleteKwenye hili umakini mkubwa unahitajika juu ya kuzichunguza nyimbo na Kutoa adhabu, Sawa wamezifungia nyimbo ambazo zimetoka nje ya maadili yetu lakini hapo hapo unakuta kuna nyimbo ambazo hazikustahili kufungiwa mfano Jux Uzuri wako, Diamond platnumz Hallelujah, Young D Bongo Bahati Mbaya, Mimi binafsi sijaona tatizo lolote kwenye hizo nyimbo ila uonevu ndo umetumika vinginevyo watuambie sababu za kuzifungia tuelewe, maana msipojiangalia mikono yenu wenyewe itatumika kushusha muziki wetu 😠😠😠ðŸ˜
ReplyDeletePost a Comment