MATOKEO YA MCHEZO WA LEO NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA - EDUSPORTSTZ

Latest

MATOKEO YA MCHEZO WA LEO NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA

Kikosi cha kwanza cha yanga
Kikosi cha time ya yanga

MATOKEO

Katika mchezo wa leo, mabigwa watetezi wa kombe la vpl Yanga imepata ushindi wa kwanza dhidi ya Ndanda FC katika dimba la Nangwanda Sijaona, ukiwa pia ni ushindi wao wa sita mfululizo katika ligi.
Mabao ya yanga dhidi ya ndanda fc

MSIMAMO

 Baada raundi ya 19 kukamilika, msimamo wa VPL unaonesha Yanga ikizidi kuifukuzia Simba kileleni huku tofauti ikiwa ni pointi tano pekee, wakati Ndanda FC ikiendelea kubaki katika nafasi yake ya 13.


  EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz