SIMBA WAMEANZA KUFANYA HAYA WAKIWA KAGERA - EDUSPORTSTZ

Latest

SIMBA WAMEANZA KUFANYA HAYA WAKIWA KAGERA

Image result for simba sport club

NDG MSOMAJI WA EDUSPORTSTZ UNAKUMBUSHWA KUSUBSCRIBE NA KUFOLLOW WEB YETU PAMOJA NA MITANDAO YETU YA KIJAMII CHINI YA POSITI HII ILI KUTUMIWA UPDATES ZOTE ZA AJIRA, MICHEZO, HABARI, SCHOLARSHIPS PAMOJA NA MASTORI YA MASTAA NA VIONGOZI MBALIMBALI. EDUSPOTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI.
Vinara wa Ligi Kuu Bara, Simba watafanya mazoezi yao asubuhi ya leo kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.

Simba iko katika maandalizi ya mwisho ya mchezo wao dhidi ya Kagera Sugar ambao utachezwa kesho kwenye Uwanja wa Kaitaba.

Huenda yanaweza kuwa mazoezi ya mwisho ya wachezaji hao na jioni wapata mapumziko.

Simba imerejea Bukoba kuivaa Kagera ikiwa na kumbukumbu ya kipigo cha mabaoo 2-1 dhidi ya Kagera Sugar.

Kocha Masoud Djuma amesema kikosi chake kitapambana kuhakikisha kinapata pointi tatu muhimu kwa kuwa wanajua umuhimu wa kufanya hivyo na kujiweka vizuri zaidi kileleni.
EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati. BOFYA HAPA KUJIUNGA NA INNOVATION FURSA CHALLENGE http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
UNGANA NASI KUPITIA LIKI HIZI ILI KUTUMIWA HABARI POPOTE ULIPO


EDUSPORTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI

WEKA EMAIL YAKO:


Delivered by EDUSPOTSTZ
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno
EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz