BARCELONA WATAMBULISHA BEKI MPYA - EDUSPORTSTZ

Latest

BARCELONA WATAMBULISHA BEKI MPYA






Beki wa kati kutoka nchini Colombia, Yerry Mina ametambulishwa rasmi katika timu yake mpya ya FC Barcelona.
Mina ametua Barcelona kwa usajili wa kitita cha pauni million 10.5 akitokea Palmeiras.

Beki huyo mwenye umri wa miaka 23 amesaini mkataba wa miaka mitano na nusu na anakuwa aria wa kwanza wa Colombia kuichezea Barcelona.









EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati. BOFYA HAPA KUJIUNGA NA INNOVATION FURSA CHALLENGE http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
UNGANA NASI KUPITIA LIKI HIZI ILI KUTUMIWA HABARI POPOTE ULIPO

EDUSPORTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI

WEKA EMAIL YAKO:


Delivered by EDUSPOTSTZ
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno
EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz