AHMED SHAFIKI KUFIKIA KIKOMO CHA KUGOMBEA URAIS MWAKA HUU 2018 - EDUSPORTSTZ

Latest

AHMED SHAFIKI KUFIKIA KIKOMO CHA KUGOMBEA URAIS MWAKA HUU 2018


Waziri mkuu wa zamani wa misri Ahmed Shafik

Waziri mkuu wa zamani wa misri Ahmed Shafik, amesema kuwa hatoshiriki kama mgombea wa kiti cha uraisi mwaka huu 2018.

Katika ukurasa wake wa twitter aliandika kuwa ameona kuwa yeye si mtu sahihi kuongoza nchi katika kipindi kijacho.

Shafik ndie alikua kionekana kuwa mpinzani mwenye nguvu kwa rais Abdel Fattah al-Sisi katika uchaguzi utakofanyika mwezi machi mwaka huu.

Waziri mkuu huyo wa zamani awali alitangaza nia yake ya kugombea urais akiwa falme ya kiarabu, muda mfupi baada ya kutangaza nia yake hiyo, mamlaka za uarubuni walimrudisha misri, ambapo hakuonekana kwa muda na baadae akaonekana na kukanusha madai ya kutekwa.

Wachambuzi wa siasa za misri wanasema kuwa kutokana na mfululizo wa matukio yanahusianishwa na kugombea kwake , bado watu wanabaki kujiuliza ni sababu gani hasa iliyomfanya ajiote katika kinyang'anyiro cha uarisi.

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.

BOFYA HAPA KUJIUNGA NA SHINDANO LA INNOVATION FURSA CHALLENGE 

http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
UNGANA NASI KUPITIA LIKI HIZI ILI KUTUMIWA HABARI POPOTE ULIPO

EDUSPORTSTZ NI FAHARI YA WASOMAJI

WEKA EMAIL YAKO:


Delivered by EDUSPOTSTZ
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno
EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz