MJUE RAIS ALIYEKAA JERA MIAKA 12 NA KUPATA MSAMAHA WA RAIS - EDUSPORTSTZ

Latest

MJUE RAIS ALIYEKAA JERA MIAKA 12 NA KUPATA MSAMAHA WA RAIS



Alberto Fujimori.

Rais wa zamani wa Peru, Alberto Fujimori ameachiwa huru kwa msamaha wa Rais wa sasa wa nchi hiyo, Pedro Pablo Kuczynski baada ya kutumikia kifungo chake kwa miaka takribani 12 (tangu 2005).


Fujimori alifungwa kwa kukutwa na hatia ya kupokea Rushwa na kukiuka haki za binadamu. Akiwa hoi kutokana na presha, Fujimori mwenye umri wa miaka 79 amewahishwa hospitali kwa matibabu ya kina.

Duru za siasa nchini humo zinadai kuwa msamaha huo umechochewa na vuguvugu la kisiasa kutoka kwa wapinzani wa Rais aliye madarakani ambao walidhamiria kuwasilisha hoja ya kumng’oa madarakani kwa tuhuma kupokea rushwa kutoka kwa kampuni ya ujenzi ambapo amejitetea kuwa fedha hizo ni malipo ya ada ya ushauri wa kitaalamu.

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati http://www.edusportstz.com ni fahari ya wasomaji
Follow web yetu na like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika,ni rahisi mno


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz