Mbunge wa kigoma kasikazini ambaye pia ni kiongozi wa chama cha ACT amendelea kutoa msimamo wake katika swara zima la mstakabari wa uchumi wa nchi.
Awali zitto kabwe alishikiliwa na jeshi la polisi kutokana na kutoa habari kuhusu kushuka kwa pato la taifa.
Leo katika mtandao wake wa twitter ameandika kustaajabishwa kupanda kwa pato la taifa kulingana na kauli za serikali wakati viashilia juu ya kushuka kwake vianaonekana ikiwa ni pamoja na kushuka kwa kipato cha benki ya taifa NMB kwa asilimia 57, kutoka 35b-15b.
All people related economic indicators show slowdown except our GDP growth rates π. Now we need new measures, consider doughnuts Economics https://t.co/JLvSs148Ia— Zitto Kabwe Ruyagwa (@zittokabwe) November 2, 2017
SUBSCLIBE ENEO LA FOLLOW CHINI ILI KUWEKA HABARI ZOTE KIGANJANI MWAKO
like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika
For Booking>>>
EMAIL: edusportstz@gmail.com
CALL>>>
Voda: +255757441463
JIUNGE NAMI KUPITIA LINK HIZI
No comments:
Post a Comment