Mbuge Nape Moses Nnauye aliye wahikuwa waziri wa michezo na msemaji wa chama cha mapinduzi, leo katika ukurasa wake wa twitter ametoa maneno yanayojibu maswari na itikadi za watu juu ya sakata na tuhuma kuhusu kuhama CCM. Nape ameyaandika yafuatayo:
Chama cha siasa ni ITIKADI, itikadi ni IMANI.Siamini SANA katika kubadili Imani KIENYEJI.Nitashughulikia MAPUNGUFU nikiwa ndani sio NJE!
Chama cha siasa ni ITIKADI, itikadi ni IMANI.Siamini SANA katika kubadili Imani KIENYEJI.Nitashughulikia MAPUNGUFU nikiwa ndani sio NJE! pic.twitter.com/lkI1aCfJ2K— Nape Moses Nnauye (@Nnauye_Nape) November 3, 2017
like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika
For Booking>>>
EMAIL: edusportstz@gmail.com
CALL>>>
Voda: +255757441463
JIUNGE NAMI KUPITIA LINK HIZI
No comments:
Post a Comment