NEYMAR ATINGA BARCELONA KUWAPA HI WASHIKAJI ZAKE - EDUSPORTSTZ

Latest

NEYMAR ATINGA BARCELONA KUWAPA HI WASHIKAJI ZAKE





Neymar amerejea tena Barcelona kuwasalimia rafiki zake Lionel Messi na Luis Suarez.


Neymar amewatembelea Messi na Suarez baada ya kwenda mazoezini Barcelona ikijifua katika enero la La Masia.



Neymar sasa anakipiga PSG aliyojiunga nayo akitokea FC Barcelona. Pamoja na Messi na Suarez, Neymar alipata nafasi ya kuzungumza na wachezaji wengine akiwemo Gerard Pique.









 like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika Propellerads

For Booking>>>



CALL>>>

Voda: +255757441463

JIUNGE NAMI KUPITIA LINK HIZI










Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz