Kutokana sakata la mh nyarandu kuihama ccm, wanasiasa mbalimbali wametoa ya moyoni mwao ambao wakongwe wa ccm wamedai ameshindwa kwendana na kasi ya rais JPM. Mbungwe Joshua nassari hakusita kutoa ya moyoni kujibu tuhuma hizo kupitia account yake ya twitter kwa kuandika ya fuatayo.
Siwashangai uvccm wakimsema Nyalandu kuhusu Mali asili.usisahau kutembelea edusportstz kwa ajili ya habari za mastaa na viongozi mbalimbali katika kipengele kipya cha uwanja wa mastaa
Najua ipo siku Magufuli nae akihamia Chadema watasema aliuza Nyumba za serekali.
— Joshua Nassari (@joshua_nassari)
Siwashangai uvccm wakimsema Nyalandu kuhusu Mali asili.— Joshua Nassari (@joshua_nassari) October 31, 2017
Najua ipo siku Magufuli nae akihamia Chadema watasema aliuza Nyumba za serekali.
like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika
Follow @bakalemwatz
For Booking>>>
EMAIL: edusportstz@gmail.com
CALL>>>
Voda: +255757441463
JIUNGE NAMI KUPITIA LINK HIZI
No comments:
Post a Comment