MFUNGAJI BORA PUSKAS HUYU HAPA - EDUSPORTSTZ

Latest

MFUNGAJI BORA PUSKAS HUYU HAPA






Mshambuliaji wa Arsenal, Olivier Giroud ameshinda tuzo ya Puskas ambayo hutolewa kwa mchezaji aliyefunga bao bora la msimu.


Amebeba tuzo hiyo katika tamasha la tuzo za Fifa zinaloendelea.


Giroud raia wa Ufaransa alifunga bao hilo kwenye wa Emirates jijini London wakati Arsenal ikiivaa Crystal Palace.



Mashabiki walilibandika bao hilo kwa nina la “Bao la Nge” kutokana na namna Giroud alivyofunga.



like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika Propellerads

For Booking>>>



CALL>>>

Voda: +255757441463

JIUNGE NAMI KUPITIA LINK HIZI










Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz