MFAHAMU KOCHA BORA WA FIFA - EDUSPORTSTZ

Latest

MFAHAMU KOCHA BORA WA FIFA




Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane ametangazwa kuwa kocha bora katika tuzo za Fifa mjini London.


Tuzo hizo zinaendelea jijini London na Zidane amefanikiwa kubeba tuzo hiyo kutokana na mafanikio makubwa msimu uliopita akibeba La Liga na Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa mara ya pili mfululizo.



Sherehe za tuzo hizo zinaendelea jijini London, England

 like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika Propellerads

For Booking>>>



CALL>>>

Voda: +255757441463

JIUNGE NAMI KUPITIA LINK HIZI










Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz