TETESI ZA USAJILI ULAYA MCHANA HUU - EDUSPORTSTZ

Latest

TETESI ZA USAJILI ULAYA MCHANA HUU



Star wa klabu ya Barcelona  Lionel Messi ameweka wazi ofa kwa klabu yake ya sasa ili kuongeza mkataba na klabu hiyo. (Source: AS) 


Mshambliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United Ryan Giggs  ameorodheshwa katika makocha wanaoweza kuchukua kibarua cha kuinoa klabu ya Middlesbrough. (Source: Sun Sport) 


Manchester City wameitaarifu  Monaco kua wapo tayari kutoa  £94m ili kuinasa saini kinda mwenye miaka 18 Kylian Mbappé. (Source: Le10 Sport)


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz