Star wa klabu ya Barcelona Lionel Messi ameweka wazi ofa kwa klabu yake ya sasa ili kuongeza mkataba na klabu hiyo. (Source: AS)
Mshambliaji wa zamani wa klabu ya Manchester United Ryan Giggs ameorodheshwa katika makocha wanaoweza kuchukua kibarua cha kuinoa klabu ya Middlesbrough. (Source: Sun Sport)
Manchester City wameitaarifu Monaco kua wapo tayari kutoa £94m ili kuinasa saini kinda mwenye miaka 18 Kylian Mbappé. (Source: Le10 Sport)
No comments:
Post a Comment