FIFA KUCHUNGUZA USAJILI WA PAUL POGBA - EDUSPORTSTZ

Latest

FIFA KUCHUNGUZA USAJILI WA PAUL POGBA




Shirikisho la soka duniani FIFA limetangaza kuanza kufanya uchunguzi juu ya usajili wa Paul Pogba kutoka Juventus kwenda Man United



Kiungo huyo katika majira ya kiangazi mwaka jana alirejea Man United kutoka Juve kwa ada ya milioni 89.3.

Man United wameulizwa kutoa ufafanuzi kuhusu vipengele vyote vya usajili huo, pamoja na pauni milioni 41 alizochukua wakala wa Pogba,Mino Raiola katika dili hilo


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz