Rais wa Shirikisho la soka nchini TFF JAMAL MALINZI kesho anatarajia kufungua Mafunzo ya Awali ya Ualimu wa Soka(Kocha) na Uamuzi(referee)Mafunzo hayo yanaendeshwa na Chama cha soka wilaya ya Ubungo UFA,Mafunzo yatakuwa ya wiki mbili.
Tafrija hiyo ya Uzinduzi itafanyika kwenye UWANJA wa KINESI Kesho Tarehe 02-05-2017 Saa 4 Asubui
Imetolewa na
JACOB MBUYA
Afisa Habari UFA
Tafrija hiyo ya Uzinduzi itafanyika kwenye UWANJA wa KINESI Kesho Tarehe 02-05-2017 Saa 4 Asubui
Imetolewa na
JACOB MBUYA
Afisa Habari UFA
No comments:
Post a Comment