Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga SC, Jumatatu, Agosti 24,2026, watashuka dimbani kuwakabili JKT Tanzania katika mchezo wa mzunguko wa tatu waligi hiyo.
Mchezo huo utapigwa saa 12:00 jioni katika Uwanja wa nyumbani wa Yanga jijini Dar es Salaam, huku Wananchi wakiingia kwenye mchezo huo wakiwa na morali kubwa baada ya kuanza msimu kwa matokeo mazuri.
Yanga imeanza msimu wa 2026/27kwa ushindi katika michezo yake miwili ya kwanza. Katika mchezo wa kwanza, ilishinda Namungo FC mabao 3-1 ugenini kabla ya kuifunga Coastal Union kwa mabao 4–1 katika mchezo ulio fuata.
Bonyeza hapa kudownload App hii utazame sasa
Usikose kutazama mechi zote LIVE kupitia simu yako pia ukiwa na App hii utaweza kutazama mechi zA Caf, kagame cup , mechi zote za ulaya, ligi kuu Tanzania bara, CRDB CUP na nyingine nyingi LIVE kupitia Simu yako
download App hii mapema itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPAAAA AU HAPAAAA au HAPAA

Post a Comment