MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amesema benchi la ufundi na wachezaji wa klabu hiyo walitimiza wajibu wao kwa kiwango cha juu katika msimu wa 2025/26, licha ya kushindwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, huku akidai baadhi ya maamuzi ya waamuzi yaliinyima timu hiyo nafasi ya kutwaa taji. Ahmed amesema […]
The post Simba Yaelekeza Macho Kombe La Shirikisho, Waamuzi Gumzo appeared first on Soka La Bongo.
from Soka La Bongo https://ift.tt/zxXB1eb
via IFTTT
Post a Comment