LONDON, ENGLAND: KOCHA mpya wa Manchester City, Enzo Maresca ameshaanza kazi, akiweka sawa mambo kabla ya kuanza na mechi ya ufunguzi wa msimu wa 2026/27 ambayo itakuwa Ngao ya Jamii itakayopigwa Agosti 18, mwaka huu katika Uwanja wa Wembley jijini London. Hata hivyo, kuna mambo ambayo yanamsubiri anayopaswa kuhakikisha kwamba anakabiliana nayo ili kuanzisha utawala […]
The post Mambo Matano Magumu Kwa Maresca appeared first on Soka La Bongo.
from Soka La Bongo https://ift.tt/avCDOhR
via IFTTT
Post a Comment