Kuna kipindi maishani mwangu nilianza kuamini labda bahati haikuwa upande wangu. Baada ya kumaliza masomo yangu, nilikuwa na matumaini makubwa sana.
Nilikuwa naamini kama watu wengine, ningepata kazi nzuri, nianze kujitegemea, na kusaidia familia yangu.
Nilikuwa nimejipanga vizuri na nilikuwa tayari kufanya kazi yoyote ya heshima ili nijenge maisha yangu.
Mwanzoni nilikuwa na matumaini makubwa.
Nilianza kutuma CV sehemu mbalimbali. Kila nilipoona advert ya kazi, nilikuwa wa kwanza kutuma maombi.
Mwanzoni nilikuwa na matumaini makubwa.
Nilianza kutuma CV sehemu mbalimbali. Kila nilipoona advert ya kazi, nilikuwa wa kwanza kutuma maombi.
Nilitumia muda mwingi kurekebisha CV yangu, kuandika application letters vizuri, na hata kutafuta ushauri wa jinsi ya kujibu interview. Lakini miezi ilianza kupita bila mabadiliko yoyote.
Hakuna simu. Hakuna email. Hakuna hata invitation ya interview. Mwanzoni nilijipa moyo nikisema labda ushindani ulikuwa mkubwa.
Hakuna simu. Hakuna email. Hakuna hata invitation ya interview. Mwanzoni nilijipa moyo nikisema labda ushindani ulikuwa mkubwa.
Lakini kadri muda ulivyopita, hali ilianza kuniumiza sana emotionally. Kilichoniumiza zaidi ni kuona marafiki niliomaliza nao shule wakianza kupata kazi mmoja baada ya mwingine.SOMA ZAIDI.
Post a Comment