Nilivyopata Heshima Kwenye Kikao cha Familia Baada ya Kupuuzwa Kwa Miaka na Maoni Yangu Kutokuwa na Uzito

Kwa miaka mingi nilikuwa najihisi kama sauti yangu haikuwa na maana ndani ya familia yetu. Kila tulipokutana kwenye vikao vya familia, watu wengine ndio walikuwa wanaongea, wanaamua, na kutoa maoni ambayo yalichukuliwa kwa uzito.

Mimi nilikuwa kama msikilizaji tu.

Kila nilipojaribu kusema jambo, mara nyingi lilipuuzwa au kukataliwa haraka kana kwamba halikuwa na maana yoyote. 

Wakati mwingine nilikuwa hata nakatishwa katikati kabla sijamaliza kuzungumza. Kilichoniumiza zaidi ni kuona watu wadogo kuniliko wakianza kuheshimiwa zaidi yangu.

Nilianza kujiona kama mtu ambaye hayuko muhimu kwenye familia yake mwenyewe. Polepole nilianza kujinyamazia kabisa kwenye vikao kwa sababu nilihisi hata nikisema hakuna mtu angesikiliza. Mara nyingine nilikuwa narudi nyumbani nikiwa nimeumia sana.SOMA ZAIDI.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post