Kwa muda mrefu nilikuwa na feelings kwa mtu mmoja ambaye nilimpenda kimya kimya. Kila nikimuona moyo ulikuwa unadunda tofauti, lakini kwake mimi nilionekana kama rafiki wa kawaida tu. Tulizungumza vizuri, tulicheka, lakini haikuwahi kwenda zaidi ya hapo.
Kilichoniumiza zaidi ni kuona akionyesha interest kwa watu wengine huku mimi nikiwa karibu naye kila siku.
Kilichoniumiza zaidi ni kuona akionyesha interest kwa watu wengine huku mimi nikiwa karibu naye kila siku.
Wakati mwingine nilijaribu kumpa hints kidogo, lakini alionekana kutonielewa kabisa. Nilianza kujiuliza kama labda sikuwa type yake.
Miezi ilipita nikiwa nimekwama kwenye hali hiyo. Marafiki waliniambia nimwambie tu ukweli, lakini niliogopa kukataliwa na kupoteza urafiki tuliokuwa nao. Kadri muda ulivyopita, nilianza kukata tamaa polepole.
Nilijaribu kujisahaulisha, lakini kila nilipoamua kuendelea na maisha, nilijikuta nikimfikiria tena.SOMA ZAIDI........................
Miezi ilipita nikiwa nimekwama kwenye hali hiyo. Marafiki waliniambia nimwambie tu ukweli, lakini niliogopa kukataliwa na kupoteza urafiki tuliokuwa nao. Kadri muda ulivyopita, nilianza kukata tamaa polepole.
Nilijaribu kujisahaulisha, lakini kila nilipoamua kuendelea na maisha, nilijikuta nikimfikiria tena.SOMA ZAIDI........................
Post a Comment