Nilivyopata Kazi Baada Ya Kukosa Nafasi Mara Nyingi

 

Naitwa Brian kutoka Eldoret. Kwa muda mrefu nilikuwa nikiomba kazi katika kampuni tofauti tofauti lakini kila mara nilikuwa napata majibu ya kukataliwa.

Nilihitimu masomo yangu nikiwa na matumaini makubwa, lakini ukweli wa maisha ulinikuta tofauti kabisa.

Kila interview niliyohudhuria ilimalizika kwa “tutakupigia simu,” ambayo haikuwahi kuja. Kadri muda ulivyozidi kwenda, ndivyo nilivyozidi kukata tamaa. 

Nilianza kujiuliza kama kuna kitu ninakosea au kama labda sina nafasi katika soko la ajira kabisa.SOMA ZAIDI.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post