Nilivyookoa Ndoa Yangu Baada ya Side Chick Kuingilia na Kuvuruga Kila Kitu

Nilianza kuona mabadiliko kwa mume wangu taratibu. Alikuwa mtu wa familia, lakini ghafla alianza kuwa mbali simu nyingi, usiri, na kurudi nyumbani akiwa amechelewa. 


Mazungumzo yetu yakapungua, na ukaribu ukapotea. Nilihisi kuna kitu hakiko sawa, lakini sikuwa na uthibitisho.

Siku moja ukweli ulijitokeza. Alikuwa na uhusiano na mwanamke mwingine. Ilikuwa pigo kubwa kwangu. 

Nilihisi kuvunjika moyo na kupoteza mwelekeo. Nilijaribu kuzungumza naye, lakini alionekana kuchanganyikiwa na hata kuanza kuniepuka zaidi. Ndoa yetu ilikuwa hatarini kuvunjika kabisa.

Nilifikiria kuondoka, lakini nilikumbuka maisha tuliyojenga pamoja na familia yetu. Nilitafuta ushauri kwa marafiki, lakini hakuna aliyenipa njia ya kurekebisha hali hiyo. Nilihitaji msaada wa kweli kabla mambo hayajaharibika zaidi.SOMA ZAIDI........

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post