Nilianza kugundua mabadiliko kwa mtoto wangu polepole. Alikuwa mtoto mwenye bidii shuleni, lakini ghafla alibadilika.
Alianza kutumia muda mwingi kwenye simu, akipuuza masomo, na alipoenda shule hakufanya vizuri tena.
Walimu walianza kunilalamikia, na nyumbani pia alikosa heshima na usikivu.
Nilijaribu kumkanya, kumshauri, hata kumdhibiti matumizi ya simu, lakini kila njia ilionekana kushindwa.
Nilijaribu kumkanya, kumshauri, hata kumdhibiti matumizi ya simu, lakini kila njia ilionekana kushindwa.
Alianza kukaa nje muda mrefu, akawa na marafiki wapya ambao sikuwajua vizuri. Nilihisi kama namkupoteza taratibu. Iliniumiza sana kuona mtoto niliyemlea kwa upendo akibadilika namna hiyo.
Baada ya kuchoka na hali hiyo, niliamua kutafuta msaada.SOMA ZAIDI.
Baada ya kuchoka na hali hiyo, niliamua kutafuta msaada.SOMA ZAIDI.
Post a Comment