Nilikuwa namwona kila siku, lakini kwake mimi sikuwepo.
Nilijaribu kila njia ya kawaida kumjali, kumsaidia, hata kumtafuta kwa mazungumzo madogo madogo lakini hakuwahi kuniona kwa jicho la mapenzi.
Alikuwa ananiita rafiki tu, na hapo ndipo nilijua nimewekwa friendzone kabisa.
Kadri siku zilivyopita, ndivyo moyo wangu ulivyokuwa unazidi kuumia. Nilianza kujilaumu, nikijiuliza kama kuna kitu kinanikosea.
Kadri siku zilivyopita, ndivyo moyo wangu ulivyokuwa unazidi kuumia. Nilianza kujilaumu, nikijiuliza kama kuna kitu kinanikosea.
Nilijaribu kujiondoa ili nisiumie zaidi, lakini kila nilipomwona, hisia zilirudi upya. Ilifika hatua nikahisi nimechoka kabisa na hali hiyo.SOMA ZAIDI.
Post a Comment