Mume aliponikuta bafuni na kopo la asali akadhani nafanya ushirikina!

 

Naitwa Salma, na leo nimeamua kuvunja ukimya juu ya kashfa iliyokaribia kunifanya nifukuzwe kama mwizi ndani ya nyumba yangu. 

Kwa takriban miaka mitatu, ndoa yangu ilikuwa na siri nzito ambayo mume wangu hakuwahi kuijua mpaka siku ya “kiama” ilipofika.

Nilikuwa ninasumbuliwa na tatizo sugu la ukavu na kupoteza kabisa hamu ya tendo la ndoa. Kila mume wangu alipotaka unyumba, nilihisi maumivu makali kiasi cha kunifanya nianze kutafuta mbinu mbadala za siri.

Nilianza tabia ya kuingia bafuni na kupaka asali mbichi sehemu zangu za siri ili tu kuleta utelezi wa bandia mume wangu asigundue.

Mchezo huu wa hatari uliendelea kwa muda mrefu, lakini kama wasemavyo wahenga, siku za mwizi ni arobaini. 

Siku moja mume wangu alirudi nyumbani mapema bila mimi kujua na kunikuta niko bafuni nimebeba kopo la asali huku nikijipaka kwa haraka.

Alipiga kelele ya ajabu akidhani nafanya ushirikina wa ajabu. “Salma! Unafanya nini na asali huko chini? Kwani wewe ni nyuki?” 

Alikasirika kiasi cha kutaka kunipiga, akidai kuwa mimi namroga ili nimpoteze kwenye biashara zake. Ugomvi ulikuwa mkubwa kiasi cha majirani kukusanyika, na mimi nilihisi aibu ambayo sijawahi kuipata maishani mwangu.

Mume wangu alitaka kunirudisha kwetu akidai mimi ni mshirikina niliyekubuhu. Niliangua kilio na kumueleza ukweli kuwa nafanya hivyo kwa sababu ya ukavu na kukosa hamu, lakini hakuamini.

Alinipeleka kwa madaktari bingwa, lakini vipimo vilionyesha sina ugonjwa wowote wa zinaa wala matatizo ya wazi, jambo lililozidi kumfanya aamini kuwa ni uchawi.

Nilianza kukonda kwa msongo wa mawazo na kila nikienda sokoni nilihisi watu wananyoosheana vidole wakisema “yule ndiye mwanamke wa asali”. 

Ndoa yangu ilikuwa imefika tamati, na mume wangu alianza mchakato wa kuleta mwanamke mwingine.

Katika hali hiyo ya kukata tamaa, nilikutana na mwanamke mmoja saloon ambaye aliniambia siri ya mafanikio yake.SOMA ZAIDI....................

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post