Denililomsumbua Mfanyabiashara Kwa Miezi Tisa Liliisha Ghafla Baada ya Tukio la Ajabu Lililobadilisha Hatima Yake!

Kuna deni linalokunyima usingizi. Unaamka nalo. Unalala nalo. Kila simu ikiita moyo unashtuka ukidhani ni mkopeshaji.

Hivyo ndivyo maisha yalivyokuwa kwa Samuel, mfanyabiashara wa vipuri vya magari kutoka Industrial Area, ambaye alijikuta akizama katika deni la zaidi ya laki saba baada ya biashara kuyumba ghafla.

Samuel alikuwa amechukua mkopo kupanua duka lake. Mambo yalikuwa mazuri mwanzoni. Lakini ushindani uliongezeka, wateja wakapungua, na mzigo wa marejesho ukaanza kumlemea. Kila mwisho wa mwezi ulikuwa vita.

Simu za wadai zilianza kuwa nyingi. Baadhi walimtishia kutaifisha mali. Alianza kukwepa simu. Alianza kukwepa hata marafiki.
Msongo Uliokaribia Kuvunja Kila Kitu

Nyumbani hali haikuwa nzuri pia. Mkewe aliona mabadiliko. Samuel alikuwa kimya, mwenye hasira za ghafla na asiye na furaha. Watoto walimkwepa bila kujua sababu.

Usiku mmoja, akiwa amekaa peke yake dukani baada ya kufunga, alijiuliza kama alifanya kosa kupanua biashara. Alijihisi kama ameshindwa.Soma Zaidi.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post