Mara nyingi nilijikuta nikiwa na huzuni isiyoelezeka. Kila kitu kilionekana kugawanyika, na mara nyingi niliamka usiku nikiwa na hofu isiyoelezeka. Nilijua kwamba jambo hili halikuwa la kawaida. Kila mara nilijaribu kupata sababu kwa nini maisha yangu yangeanza kudhoofika ghafla, lakini hakuwa na majibu.
Familia yangu waliniona nikiwa mtu tofauti, wakiwa hawajui kilichokuwa kinanitokea.
Nilijaribu kila kitu: kufanya ibada, kusali kila siku, na hata kutafuta mshauri wa kawaida wa maisha, lakini hali haikubadilika. Soma zaidi hapa

Post a Comment