Nilianza Mwaka Mpya Nikihisi Watu Wananionea Macho Mabaya Njia ya Kujikinga Niliyojifunza

 


Mwaka mpya ulipofika, sijawahi kuhisi hofu kama nilivyohisi mwaka huu. Kila mtu alionekana kufurahia, lakini moyoni mwangu kulikuwa na uzito usioelezeka. Nilihisi macho mabaya yamenishika, kila jambo nzuri nililojaribu lilivunjika bila sababu.

Nilianza kuogopa hata kufanya maamuzi madogo, kwa kuwa nilihisi watu wakiwa karibu wangu wananionea vibaya. Hali hiyo ilizidisha wasiwasi na kushusha morali yangu.

Nilijaribu kuondoa hisia hizo kwa kufanya kazi nyingi, kuomba kwa watu, na hata kujitenga kidogo. Lakini hofu ilidumu. Nilijua kuwa kama sitachukua hatua maalumu, mwaka mzima ungekuwa mgumu, na changamoto zikiendelea kujitokeza bila kukomaa. Soma zaidi hapa 

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post