Leo Ijumaa, Januari 23, 2026, klabu ya Young Africans (Yanga) inashuka dimbani uwanja wa Borg El Arab, Alexandria, Misri, kukabiliana na mabingwa wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly, katika mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa na presha ya hali ya juu.
Mchezo huu ni muhimu sana kwa pande zote mbili katika kundi B la CAFCL, kwani Al Ahly na Yanga kila mmoja ana pointi 4. Kwa hivyo, ushindi wowote leo utakuwa na maana kubwa katika mwelekeo wa kundi na nafasi za robo fainali.
Kwa Yanga, matokeo chanya ugenini ni nafasi ya kuimarisha mkakati wa kupata tiketi ya hatua ya nane bora, huku Al Ahly wakiwa wanataka kudumisha heshima yao kama mabingwa wa kihistoria Afrika.
Usikose kutazama mechi zote zA Caf, mechi zote za ulaya, ligi kuu Tanzania bara na nyingine nyingi LIVE kupitia Simu yako
download App hii mapema itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPAAAA AU HAPAAAA au HAPAA kumbuka app bado hayujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK hivo ikileta neno harmful usiogope ni kwasababu bado hatujaiweka playstore

Abduliazizi
ReplyDeletePost a Comment